MAISHA YA MKRISTO
Uwe Mnyenyekevu—Epuka Kujisifu
Kujisifu na kujigamba ni ishara ya kiburi na hakuwajengi wanaokusikiliza. Hivyo Biblia inasema: “Acha mtu mwingine akusifu, wala si kinywa chako mwenyewe.”—Met 27:2.
TAZAMENI VIDEO YENYE KICHWA UWE RAFIKI YA YEHOVA—UWE MNYENYEKEVU, KISHA MJIBU MASWALI YAFUATAYO:
Ni mambo gani ya kawaida ambayo watu hujisifia?
Caleb alikuwa akijisifu kuhusu jambo gani kwa rafiki yake?
Baba ya Caleb alimsaidiaje kuelewa umuhimu wa kuwa mnyenyekevu?
1 Petro 5:5 inatusaidiaje kuwa wanyenyekevu?