Julai 27–Agosti 2
KUTOKA 12
Wimbo 20 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Pasaka—Inawahusuje Wakristo?”: (Dak. 10)
Kut 12:5-7—Umuhimu wa mwanakondoo wa Pasaka (w07 1/1 20 ¶4)
Kut 12:12, 13—Umuhimu wa damu kwenye miimo ya mlango (it-2 583 ¶6)
Kut 12:24-27—Somo muhimu tunalojifunza kutokana na Pasaka (w13 12/15 20 ¶13-14)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
Kut 12:12—“Mapigo kumi yaliyowapata Wamisri, na hasa pigo la kumi, yalikuwaje hukumu dhidi ya miungu yao ya uwongo?” (it-2 582 ¶2)
Kut 12:14-16—Kulikuwa na jambo gani la pekee kuhusu Sherehe ya Mikate Isiyo na Chachu, ambalo pia lilikuwepo katika sherehe nyingine, na Waisraeli walinufaikaje kutokana na jambo hilo? (it-1 504 ¶1)
Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova Mungu, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Kut 12:1-20 (th somo la 5)
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 3) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Shughulikia kizuia-mazungumzo cha kawaida katika eneo lenu. (th somo la 2)
Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak. 4) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Kisha toa gazeti la karibuni kuhusu habari iliyozungumziwa. (th somo la 6)
Funzo la Biblia: (Lisizidi dak. 5) bhs 16 ¶21-22 (th somo la 19)
MAISHA YA MKRISTO
“Yehova Huwalinda Watu Wake”: (Dak. 15) Mazungumzo. Onyesha video yenye kichwa Kutembelea Maonyesho ya Warwick: “Watu kwa Ajili ya Jina la Yehova.”
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 125
Umalizio (Usizidi dak. 3)
Wimbo 129 na Sala