Agosti 17-23
KUTOKA 17-18
Wimbo 79 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Wanaume Wenye Kiasi Huwazoeza na Kuwakabidhi Wengine Majukumu”: (Dak. 10)
Kut 18:17, 18—Yethro alitambua kwamba Musa alikuwa na majukumu mengi (w13 2/1 6)
Kut 18:21, 22—Yethro alimtia moyo Musa awakabidhi wanaume wanaostahili baadhi ya majukumu yake (w03 11/1 6 ¶1)
Kut 18:24, 25—Musa alitumia ushauri aliopewa na Yethro (w02 5/15 25 ¶5)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
Kut 17:11-13—Tunawezaje kuwaiga Haruni na Huru ambao walitenda upesi ili kumsaidia Musa? (w16.09 6 ¶14)
Kut 17:14—Kwa nini vitabu vilivyoandikwa na Musa vinaonwa kuwa sehemu ya vitabu vya Maandiko Matakatifu? (it-1 406)
Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Kut 17:1-16 (th somo la 10)
BORESHA HUDUMA YAKO
Video ya Ziara ya Kurudia: (Dak. 5) Mazungumzo. Onyesha video. Kisha uwaulize wasikilizaji: Tunajifunza nini kutokana na jinsi Linda alivyojibu swali la Jamila kuhusu hali ya wafu? Linda alionyeshaje manufaa ya habari iliyo katika mistari aliyozungumzia?
Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak. 3) Tumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. (th somo la 12)
Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak. 4) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Kisha toa kitabu Biblia Inatufundisha, na uanzishe funzo la Biblia kwenye sura ya 6. (th somo la 7)
MAISHA YA MKRISTO
Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 15)
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 128
Umalizio (Usizidi dak. 3)
Wimbo 14 na Sala