Novemba 30–Desemba 6
MAMBO YA WALAWI 8-9
Wimbo 16 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Uthibitisho wa Baraka za Yehova”: (Dak. 10)
Law 8:6-9, 12—Musa aliweka rasmi makuhani (it-1 1207)
Law 9:1-5—Taifa lilikuwepo makuhani walipotoa dhabihu za kwanza za wanyama (it-1 1208 ¶8)
Law 9:23, 24—Yehova alionyesha anaukubali ukuhani (w19.11 23 ¶13)
Kutafuta Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
Law 8:6—Tunaweza kujifunza nini kutokana na takwa la kwamba makuhani wa Israeli walipaswa kuwa safi kimwili? (w14 11/15 9 ¶6)
Law 8:14-17—Wakati wa kuwekwa rasmi kwa ukuhani, kwa nini Musa ndiye aliyetoa dhabihu na si Haruni? (it-2 437 ¶3)
Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova Mungu, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Usizidi dak. 4) Law 8:31–9:7 (th somo la 5)
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Isizidi dak. 3) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Kisha taja jambo hususa kutoka katika toleo la watu wote la Mnara wa Mlinzi Na. 2 2020, na utoe gazeti hilo. (th somo la 6)
Ziara ya Kurudia: (Isizidi dak. 4) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Kisha mwelekeze mwenye-nyumba kwenye tovuti yetu, na umwachie kadi ya mawasiliano. (th somo la 4)
Funzo la Biblia: (Lisizidi dak. 5) bhs 84 ¶6-7 (th somo la 11)
MAISHA YA MKRISTO
“Kuboresha Ustadi Wetu Katika Huduma—Kuhubiri Kupitia Simu”: (Dak. 15) Mazungumzo yakiongozwa na mwangalizi wa utumishi. Onyesha video kisha mzungumze kuihusu.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Lisizidi dak. 30) rr sura ya 1 ¶8-14, sanduku 1A
Umalizio (Usizidi dak. 3)
Wimbo 40 na Sala