Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb20 Desemba uku. 8
  • Endelea Kutumia Magazeti

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Endelea Kutumia Magazeti
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2020
  • Habari Zinazolingana
  • Toa Magazeti Katika Huduma
    Huduma ya Ufalme—2005
  • Tumieni Magazeti Yetu Vema Kabisa
    Huduma Yetu ya Ufalme—1995
  • Magazeti Yatangaza Ufalme
    Huduma Yetu ya Ufalme—1998
  • Kutangaza Habari Njema-Kwa Magazeti
    Huduma Yetu ya Ufalme—1989
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2020
mwb20 Desemba uku. 8
Dada akizungumza na mwanamke kuhusu habari iliyo katika toleo la ‘Amkeni!’

MAISHA YA MKRISTO

Endelea Kutumia Magazeti

Tangu mwaka wa 2018, kila toleo la magazeti yetu ya watu wote limekuwa likizungumzia habari moja tu. Magazeti yote hayo ni sehemu ya Sanduku la Vifaa vya Kufundishia. Kwa hiyo, tunaweza kuyatumia katika huduma. Pia, tunaweza kubeba nakala kadhaa tunaposafiri au tunapofanya ununuzi. Magazeti hayo hayajakusudiwa kuongoza funzo la Biblia na mtu lakini yanaweza kumchochea mtu apendezwe na mambo ya kiroho.

Baada ya kuanzisha mazungumzo, msomee andiko, na utaje habari inayoweza kumvutia mtu huyo iliyo katika mojawapo ya magazeti. Kwa mfano, ikiwa ana familia, au anakabiliana na huzuni, au mkazo, unaweza kusema: “Hivi karibuni nilisoma makala nzuri kuhusu jambo hilo, ungependa nikuonyeshe?” Ukihisi anapendezwa, unaweza kumpa nakala iliyochapishwa ya gazeti hilo au umtumie nakala ya kielektroni, hata kwenye ziara ya kwanza. Ingawa kusudi letu kuu si kutoa machapisho, magazeti yanaweza kutusaidia kuwapata wale ambao wako tayari kutenda kupatana na mambo wanayojifunza.—Mdo 13:48.

2018

Picha: Habari Kuu zilizo katika magazeti ya ‘Mnara wa Mlinzi’ na ‘Amkeni!’ ya 2018. 1. ‘Biblia​—Kitabu Kisichopitwa na Wakati’ 2. ‘Maisha Yatakuwaje Wakati Ujao?’ 3. ‘Je, Mungu Anakujali?’ 4. ‘Njia ya Maisha Inayoleta Furaha.’ 5. ‘Siri 12 za Mafaniko Katika Familia.’ 6. ‘Kukabiliana na Huzuni ya Kufiwa.’

2019

Picha: Habari Kuu zilizo katika magazeti ya ‘Mnara wa Mlinzi’ na ‘Amkeni!’ ya 2018. 1. ‘Biblia​—Kitabu Kisichopitwa na Wakati’ 2. ‘Maisha Yatakuwaje Wakati Ujao?’ 3. ‘Je, Mungu Anakujali?’ 4. ‘Njia ya Maisha Inayoleta Furaha.’ 5. ‘Siri 12 za Mafaniko Katika Familia.’ 6. ‘Kukabiliana na Huzuni ya Kufiwa.’

2020

Picha: Habari Kuu zilizo katika magazeti ya ‘Mnara wa Mlinzi’ na ‘Amkeni!’ ya 2018. 1. ‘Biblia​—Kitabu Kisichopitwa na Wakati’ 2. ‘Maisha Yatakuwaje Wakati Ujao?’ 3. ‘Je, Mungu Anakujali?’ 4. ‘Njia ya Maisha Inayoleta Furaha.’ 5. ‘Siri 12 za Mafaniko Katika Familia.’ 6. ‘Kukabiliana na Huzuni ya Kufiwa.’

Ni habari zipi zinazowavutia watu katika eneo lenu?

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki