Septemba 19-25
1 WAFALME 13-14
Wimbo 21 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Kwa Nini Uridhike na Uwe Mwenye Kiasi?”: (Dak. 10)
Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
1Fa 14:13—Mstari huu unatufundisha nini kumhusu Yehova? (w10 7/1 29 ¶5)
Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) 1Fa 13:1-10 (th somo la 10)
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Dak. 3) Anza kwa kutumia pendekezo la kuanzisha mazungumzo kwa ajili ya kampeni ya kuanzisha mafunzo ya Biblia. Shughulikia kizuia-mazungumzo cha kawaida katika eneo lenu. (th somo la 7)
Ziara ya Kurudia: (Dak. 4) Endeleza funzo la Biblia lililoanzishwa kwenye ziara ya kwanza, kwa kutumia somo la 01 la broshua Furahia Maisha Milele! (th somo la 9)
Funzo la Biblia: (Dak. 5) lff somo la 07 jambo kuu la 5 (th somo la 19)
MAISHA YA MKRISTO
“Kabiliana na Matatizo ya Kiuchumi kwa Uhakika”: (Dak. 15) Mazungumzo. Onyesha video Jenga Nyumba Itakayodumu—‘Ridhika na Vitu vya Sasa.’
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) lff somo la 19 jambo kuu la 5-6, muhtasari, ungejibuje, na lengo
Umalizio (Dak. 3)
Wimbo 56 na Sala