Januari 16-22
1 MAMBO YA NYAKATI 1-3
Wimbo 96 na Sala
Utangulizi (Dak. 1)
HAZINA ZA NENO LA MUNGU
“Biblia—Kitabu cha Mambo Hakika, Si Hadithi”: (Dak. 10)
Hazina za Kiroho: (Dak. 10)
1Nya 3:1-3—Kwa nini pindi fulani wanawake walitiwa ndani ya orodha ya majina ya ukoo? (it-1 911 ¶3-4)
Umepata hazina gani za kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili kumhusu Yehova, au ambazo ungependa kutumia katika utumishi wa shambani, au jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) 1Nya 1:43-54 (th somo la 5)
BORESHA HUDUMA YAKO
Ziara ya Kwanza: (Dak. 3) Anza kwa kutumia habari iliyo kwenye pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Toa gazeti linalopatana na habari ambayo mwenye nyumba ametokeza. (th somo la 4)
Ziara ya Kurudia: (Dak. 4) Anza kwa kutumia habari iliyo kwenye pendekezo la kuanzisha mazungumzo. Toa chapisho kutoka kwenye Sanduku la Vifaa vya Kufundishia. (th somo la 1)
Funzo la Biblia: (Dak. 5) lff somo la 08 jambo kuu la 7 na Watu Fulani Husema (th somo la 8)
MAISHA YA MKRISTO
“Imarisha Imani Yako Katika Neno la Mungu”: (Dak. 15) Mazungumzo na video.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) lff somo la 34
Umalizio (Dak. 3)
Wimbo 89 na Sala