Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb23 Januari uku. 5
  • Imarisha Imani Yako Katika Neno la Mungu

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Imarisha Imani Yako Katika Neno la Mungu
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2023
  • Habari Zinazolingana
  • Maamuzi Yanayoonyesha Unamtegemea Yehova
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2023
  • Kusoma Biblia Kila Siku na Jitihada ya Kutafuta Hekima
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2023
  • “Iweni Watendaji wa Neno”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2024
  • Uwe Mwenye Kiasi Inapohusu Mambo Usiyoyajua
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2025
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2023
mwb23 Januari uku. 5
Picha: Dada akisoma na kujifunza Biblia. 1. Anatengeneza orodha ya watu mbalimbali waliotajwa katika Biblia na kipindi walichoishi. 2. Anasoma toleo la funzo la “Tafsiri ya Ulimwengu Mpya” kwenye jw.org. 3 Anaangalia ramani ya nchi zilizotajwa katika Biblia. 4. Anachora picha ya kuhani mkuu na mavazi yake.

MAISHA YA MKRISTO

Imarisha Imani Yako Katika Neno la Mungu

Neno la Mungu linaweza kubadili maisha yetu. (Ebr 4:12) Hata hivyo, ili kunufaika kutokana na mwongozo, mwelekezo, na ushauri wake tunahitaji kusadiki kwamba Biblia ni “neno la Mungu.” (1Th 2:13) Tunaweza kuimarishaje imani yetu katika Biblia?

Soma sehemu fulani ya Biblia kila siku. Unaposoma, tafuta uthibitisho kwamba Yehova ndiye Mtungaji wake. Kwa mfano, chunguza mashauri yaliyo katika kitabu cha Methali na uone jinsi hekima yake inavyoweza kutumika hata leo.​—Met 13:20; 14:30.

Anza mradi wa kujifunza. Jifunze vizuri uthibitisho unaoonyesha kwamba Biblia iliongozwa na roho ya Mungu. Katika Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova, angalia chini ya kichwa “Biblia” kisha “Iliongozwa na Roho ya Mungu.” Pia unaweza kuimarisha imani yako kwamba ujumbe wa Biblia haujabadilishwa kwa kuchunguza habari iliyo kwenye Nyongeza A3 ya Tafsiri ya Ulimwengu Mpya.

TAZAMENI VIDEO YENYE KICHWA KWA NINI TUNA IMANI . . . KATIKA NENO LA MUNGU, KISHA MJIBU MASWALI YAFUATAYO:

  • Ukuta wa hekalu uliogunduliwa huko Karnak, Misri, unathibitishaje ukweli wa Neno la Mungu?

  • Tunajuaje kwamba ujumbe wa Biblia haujabadilika?

  • Kuokoka kwa Biblia kunakuthibitishiaje kwamba ni Neno la Mungu?—Soma Isaya 40:8

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki