Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb24 Novemba kur. 10-11
  • Desemba 16-22

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Desemba 16-22
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2024
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2024
mwb24 Novemba kur. 10-11

DESEMBA 16-22

ZABURI 119:​57-120

Wimbo 129 na Sala | Utangulizi (Dak. 1)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

1. Jinsi ya Kuvumilia Hali Ngumu

(Dak. 10)

Endelea kusoma na kujifunza Neno la Mungu (Zb 119:61; w06 6/15 20 ¶2; w00 12/1 14 ¶3)

Ruhusu jaribu likufinyange (Zb 119:71; w06 9/1 14 ¶4)

Mwombe Yehova akufariji (Zb 119:76; w17.07 13 ¶3, 5)

Ndugu mgonjwa akiwa ameketi kwenye kitanda akisali pamoja na mke wake.

JIULIZE, ‘Ni katika njia zipi hususa Yehova amenisaidia kuvumilia hali ngumu?’

2. Hazina za Kiroho

(Dak. 10)

  • Zb 119:96—Huenda mstari huu unamaanisha nini? (w06 9/1 14 ¶5)

  • Ungependa kushiriki nasi hazina gani kutoka kwenye usomaji wa Biblia wa juma hili?

3. Usomaji wa Biblia

(Dak. 4) Zb 119:​57-80 (th somo la 12)

BORESHA HUDUMA YAKO

4. Kuanzisha Mazungumzo

(Dak. 3) NYUMBA KWA NYUMBA. Mwonyeshe mwenye nyumba tovuti yetu, na umpe kadi ya mawasiliano ya jw.org. (lmd somo la 2 jambo kuu la 5)

5. Kufuatia Upendezi

(Dak. 4) MAHUBIRI YASIYO RASMI. Mwalike mtu huyo asikilize hotuba ya watu wote ifuatayo. Tumia video Ni Nini Hutendeka Katika Jumba la Ufalme? (lmd somo la 8 jambo kuu la 3)

6. Kufafanua Imani Yako

(Dak. 5) Onyesho. ijwbq 157—Kichwa: Biblia Inasema Nini Kuhusu Misiba ya Asili? (lmd somo la 3 jambo kuu la 3)

MAISHA YA MKRISTO

Wimbo 128

7. Yehova Anatusaidia Kuvumilia

(Dak. 15) Mazungumzo.

Uvumilivu wa Kikristo ni uwezo wa kustahimili hali ngumu, taabu, au mkazo bila kufa moyo. Kuvumilia kunamaanisha tunaendelea kuwa imara, tukidumisha tumaini letu na kuendelea kuwa na mtazamo unaofaa wa akili licha ya majaribu tunayokabili. Ikiwa sisi ni wavumilivu, matatizo yanapotokea ‘hatutarudi nyuma’ au kupunguza mwendo katika mbio zetu za Kikristo. (Ebr 10:​36-39) Yehova ana hamu ya kutusaidia kuvumilia majaribu.—Ebr 13:6.

Kando ya kila andiko, andika jinsi Yehova anavyotusaidia kuvumilia.

  • Lu 11:13

  • Ro 8:25

  • 1Th 5:11

  • Yak 1:5

Picha kutoka kwenye video “Endelea Kusali kwa Ajili ya Wale Wanaovumilia Majaribu.” 1. Familia ya Wilson wakijifunza mazoezi ya “Uwe Rafiki ya Yehova​—⁠Sali kwa Ajili ya Wengine.” 2. Glynis akisali.

Onyesha VIDEO Endelea Kusali kwa Ajili ya Wale Wanaovumilia Majaribu. Kisha waulize wasikilizaji:

  • Tunaweza kutumiaje tovuti ya jw.org kupata habari za karibuni kuwahusu ndugu zetu wanaokabili majaribu?

  • Wazazi wanaweza kuwazoezaje watoto wao kusali kwa ajili ya wengine, na kuna manufaa gani ya kufanya hivyo?

  • Kwa nini ni muhimu kusali Yehova awasaidie Wakristo wenzetu kuvumilia?

  • Kusali kwa ajili ya wengine kunawezaje kutusaidia kuvumilia majaribu tunayokabili?

8. Funzo la Biblia la Kutaniko

(Dak. 30) bt sura ya 19 ¶14-20, sanduku uk. 152

Umalizio (Dak. 3) | Wimbo 32 na Sala

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki