Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb25 Januari kur. 8-9
  • Februari 3-9

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Februari 3-9
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2025
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2025
mwb25 Januari kur. 8-9

FEBRUARI 3-9

ZABURI 144-146

Wimbo 145 na Sala | Utangulizi (Dak. 1)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

1. “Wenye Furaha Ni Watu Ambao Mungu Wao Ni Yehova!”

(Dak. 10)

Yehova huwabariki wale wanaomtegemea (Zb 144:​11-15; w18.04 32 ¶3-4)

Tunashangilia katika tumaini letu (Zb 146:5; w22.10 28 ¶16-17)

Wale ambao Mungu wao ni Yehova watakuwa na furaha milele (Zb 146:10; w18.01 26 ¶19-20)

Mkusanyo wa picha zinazoonyesha ndugu na dada wenye furaha walio na umri na malezi mbalimbali.

Tunapomtumikia Yehova kwa uaminifu, tunaweza kuwa na furaha licha ya kuwa na matatizo

2. Hazina za Kiroho

(Dak. 10)

  • Zb 145:​15, 16—Mistari hii inapaswa kuongozaje jinsi tunavyowatendea wanyama? (it-1 111 ¶9)

  • Ungependa kushiriki nasi hazina gani kutoka kwenye usomaji wa Biblia wa juma hili?

3. Usomaji wa Biblia

(Dak. 4) Zb 144:​1-15 (th somo la 11)

BORESHA HUDUMA YAKO

4. Kuanzisha Mazungumzo

(Dak. 4) NYUMBA KWA NYUMBA. Mtu huyo anakuambia kwamba yeye ni mwanafunzi wa chuo kikuu. (lmd somo la 1 jambo kuu la 5)

5. Kufuatia Upendezi

(Dak. 4) MAHUBIRI YASIYO RASMI. Tumia video kutoka kwenye Sanduku la Vifaa vya Kufundishia. (lmd somo la 7 jambo kuu la 4)

6. Hotuba

(Dak. 4) lmd nyongeza A jambo kuu la 7—Kichwa: Mke Anapaswa Kumheshimu Sana Mume Wake. (th somo la 1)

MAISHA YA MKRISTO

Wimbo 59

7. Yehova Anataka Uwe na Furaha

(Dak. 10) Mazungumzo.

Yehova ndiye Mungu mwenye furaha. (1Ti 1:11) Ametupatia zawadi nyingi za pekee zinazotuonyesha kwamba anatupenda sana naye anataka tuwe na furaha. (Mhu 3:​12, 13) Fikiria zawadi mbili kati ya hizo—chakula na sauti.

Marafiki wakiwa wameketi kando ya moto. Mmoja wao akipiga gitaa.

Onyesha VIDEO Uumbaji Unathibitisha Kwamba Yehova Anataka Tuwe na Furaha—Chakula Kitamu na Sauti Zenye Kupendeza. Kisha waulize wasikilizaji:

  • Zawadi za chakula na sauti zinakusadikishaje kwamba Yehova anataka tuwe na furaha?

Soma Zaburi 32:8. Kisha waulize wasikilizaji:

  • Kujua kwamba Yehova anataka uwe na furaha kunakuchocheaje kusikiliza mwongozo anaotoa kupitia Biblia na tengenezo lake?

8. Mahitaji ya Kutaniko

(Dak. 5)

9. Funzo la Biblia la Kutaniko

(Dak. 30) bt sura ya 22 ¶1-6

Umalizio (Dak. 3) | Wimbo 85 na Sala

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki