Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb25 Mei kur. 12-13
  • Juni 16-22

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Juni 16-22
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2025
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2025
mwb25 Mei kur. 12-13

JUNI 16-22

METHALI 18

Wimbo 90 na Sala | Utangulizi (Dak. 1)

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

1. Watie Moyo Wale Wanaokabili Matatizo ya Kiafya

(Dak. 10)

Tumia hekima inayotoka kwa Mungu unapozungumza (Met 18:4; w22.10 22 ¶17)

Jitahidi kuelewa hali ambayo mtu anakabili (Met 18:13; mrt makala ya 19 sanduku)

Uwe rafiki anayetegemeka na mwenye subira (Met 18:24; wp23.1 14 ¶3–15 ¶1)

Mume akisikiliza kwa huruma mke wake anapomweleza hisia zake.

JIULIZE, ‘Ninaweza kufanya nini ili kumtegemeza mwenzi wangu wa ndoa, ikiwa anakabili matatizo ya afya ya kimwili au ya kiakili?’

2. Hazina za Kiroho

(Dak. 10)

  • Met 18:18—Kwa nini kura zilitumiwa katika nyakati za Biblia? (it-2 271-272)

  • Ungependa kushiriki nasi hazina gani kutoka kwenye usomaji wa Biblia wa juma hili?

3. Usomaji wa Biblia

(Dak. 4) Met 18:​1-17 (th somo la 11)

BORESHA HUDUMA YAKO

4. Kuanzisha Mazungumzo

(Dak. 1) NYUMBA KWA NYUMBA. Mwenye nyumba anazungumza lugha nyingine. (lmd somo la 2 jambo kuu la 5)

5. Kufuatia Upendezi

(Dak. 3) MAHUBIRI YA UMMA. Mwenye nyumba anakuomba uzungumze kwa ufupi. (lmd somo la 7 jambo kuu la 4)

6. Kufuatia Upendezi

(Dak. 3) MAHUBIRI YASIYO RASMI. Mfundishe mtu huyo kweli muhimu kuhusu Ufalme wa Mungu. (lmd somo la 9 jambo kuu la 5)

7. Kufafanua Imani Yako

(Dak. 4) Onyesho. ijwfq makala ya 29—Kichwa: Je, Unaamini kwamba Dunia Iliumbwa kwa Siku Sita Zenye Urefu wa Saa 24? (lmd somo la 5 jambo kuu la 5)

MAISHA YA MKRISTO

Wimbo 144

8. Wasaidie Wapendwa Wako Wamkaribie Yehova “Bila Neno”

(Dak. 15) Mazungumzo.

Wengi wetu tunamjua mtu fulani ambaye kwa sasa hamtumikii Yehova—huenda ni mwenzi wetu wa ndoa, mtoto wetu, au rafiki mpendwa ambaye ameacha kushirikiana na kutaniko. Je, pindi fulani umewahi kumlazimisha mtu au kuzungumza naye kwa njia isiyo ya fadhili ukiwa na nia ya kumshawishi amtumikie Yehova? Ingawa nia yetu ni nzuri, maneno yetu yanaweza kufanya hali iwe mbaya hata zaidi. (Met 12:18) Je, ni njia gani nzuri ya kumsaidia?

Petro ya kwanza 3:1 inasema kwamba mume asiyeamini ‘anaweza kuvutwa bila neno.’ Hata ikiwa mume wa dada Mkristo anakataa kuzungumzia kweli za Biblia pamoja naye, bado anaweza kumsaidia mume huyo amjue Yehova. Mwenendo wake, ambao umefinyangwa na sifa za Mungu kama vile upendo, fadhili, na hekima, unaweza kulainisha moyo wake. (Met 16:23) Mwenendo wetu na kuwa wenye neema kunaweza kuwa na matokeo mazuri kwa wapendwa wetu ambao kwa sasa hawamtumikii Yehova.—“Neema” habari za utafiti Kol 4:​6, nwtsty.

Onyesha VIDEO Wapiganaji wa Imani Waliofanikiwa—Walio na Wenzi wa Ndoa Wasio Waamini. Kisha waulize wasikilizaji:

    Picha kutoka kwenye video yenye kichwa “Wapiganaji wa Imani Waliofanikiwa​—⁠Walio na Wenzi wa Ndoa Wasio Waamini.” Dada Hideko Sasaki.
  • Unajifunza nini kutokana na mambo ambayo Dada Sasaki alikabili?

  • Picha kutoka kwenye video yenye kichwa “Wapiganaji wa Imani Waliofanikiwa​—⁠Walio na Wenzi wa Ndoa Wasio Waamini.” Dada Noriko Ito.
  • Unajifunza nini kutokana na mambo ambayo Dada Ito alikabili?

  • Picha kutoka kwenye video yenye kichwa “Wapiganaji wa Imani Waliofanikiwa​—⁠Walio na Wenzi wa Ndoa Wasio Waamini.” Dada Tomoe Okada.
  • Unajifunza nini kutokana na mambo ambayo Dada Okada alikabili?

9. Funzo la Biblia la Kutaniko

(Dak. 30) bt sura ya 27 ¶23-26, masanduku uk. 214, 217

Umalizio (Dak. 3) | Wimbo 60 na Sala

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki