Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • nwt uku. 793
  • Nehemia—Yaliyomo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Nehemia—Yaliyomo
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Habari Zinazolingana
  • Kitabu Cha Biblia Namba 16—Nehemia
    “Kila Andiko, Lenye Pumzi ya Mungu, Lafaa”
  • Mambo Makuu Katika Kitabu cha Nehemia
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2006
  • Kuta za Yerusalemu
    Masomo Unayoweza Kujifunza Katika Biblia
  • “Endelea Kuushinda Uovu Kwa Wema”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2007
Pata Habari Zaidi
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Nehemia—Yaliyomo

NEHEMIA

YALIYOMO

  • 1

    • Habari kutoka Yerusalemu (1-3)

    • Sala ya Nehemia (4-11)

  • 2

    • Nehemia aruhusiwa kwenda Yerusalemu (1-10)

    • Nehemia akagua kuta za jiji (11-20)

  • 3

    • Kuta zajengwa upya (1-32)

  • 4

    • Kazi yaendelea licha ya upinzani (1-14)

    • Ujenzi waendelea wajenzi wakiwa na silaha (15-23)

  • 5

    • Nehemia akomesha ukandamizaji (1-13)

    • Nehemia hakutenda kwa ubinafsi (14-19)

  • 6

    • Kazi ya kujenga upya yaendelea kupingwa (1-14)

    • Ukuta wakamilika baada ya siku 52 (15-19)

  • 7

    • Malango ya jiji na walinzi wa malango (1-4)

    • Orodha ya watu waliorudi kutoka uhamishoni (5-69)

      • Watumishi wa hekaluni (46-56)

      • Wana wa watumishi wa Sulemani (57-60)

    • Michango kwa ajili ya kazi (70-73)

  • 8

    • Sheria yasomwa na kufafanuliwa mbele ya watu (1-12)

    • Sherehe ya Vibanda yaadhimishwa (13-18)

  • 9

    • Watu waungama dhambi zao (1-38)

      • Yehova, Mungu anayesamehe (17)

  • 10

    • Watu wakubali kuifuata Sheria (1-39)

      • “Hatutaipuuza nyumba ya Mungu wetu” (39)

  • 11

    • Watu waanza kuishi tena Yerusalemu (1-36)

  • 12

    • Makuhani na Walawi (1-26)

    • Ukuta wazinduliwa (27-43)

    • Kutegemeza utumishi wa hekalu (44-47)

  • 13

    • Nehemia afanya marekebisho zaidi (1-31)

      • Sehemu za kumi zatolewa (10-13)

      • Sabato isichafuliwe (15-22)

      • Wakatazwa kuoa watu wa mataifa mengine (23-28)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki