Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • nwt uku. 1488
  • Amosi—Yaliyomo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Amosi—Yaliyomo
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Habari Zinazolingana
  • Kifo cha Taifa
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1989
  • Kitabu Cha Biblia Namba 30—Amosi
    “Kila Andiko, Lenye Pumzi ya Mungu, Lafaa”
  • Hukumu ya Yehova Itakuja Juu ya Waovu
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2004
  • Mambo Makuu Katika Kitabu cha Yoeli na cha Amosi
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2007
Pata Habari Zaidi
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Amosi—Yaliyomo

AMOSI

YALIYOMO

  • 1

    • Amosi apokea ujumbe kutoka kwa Yehova (1, 2)

    • Wahukumiwa kwa sababu ya kuasi tena na tena (3-15)

      • Siria (3-5), Ufilisti (6-8), Tiro (9, 10), Edomu (11, 12), Amoni (13-15)

  • 2

    • Wahukumiwa kwa sababu ya kuasi tena na tena (1-16)

      • Moabu (1-3), Yuda (4, 5), Israeli (6-16)

  • 3

    • Kutangaza hukumu ya Yehova (1-8)

      • Mungu afunua siri yake (7)

    • Ujumbe dhidi ya Samaria (9-15)

  • 4

    • Ujumbe dhidi ya ng’ombe wa Bashani (1-3)

    • Yehova adhihaki ibada ya uwongo ya Waisraeli (4, 5)

    • Waisraeli wakataa nidhamu (6-13)

      • “Jitayarishe kukutana na Mungu wako” (12)

      • ‘Mungu humwambia mwanadamu mawazo Yake’ (13)

  • 5

    • Waisraeli ni kama bikira aliyeanguka (1-3)

    • Mtafuteni Yehova, mwendelee kuishi (4-17)

      • Chukieni maovu, pendeni mema (15)

    • Siku ya Yehova itakuwa siku ya giza (18-27)

      • Dhabihu za Waisraeli zakataliwa (22)

  • 6

    • Ole wao wasiojali! (1-14)

      • Vitanda vya pembe za tembo; mabakuli ya divai (4, 6)

  • 7

    • Maono yanayoonyesha mwisho wa Israeli unakaribia (1-9)

      • Nzige (1-3), moto (4-6), timazi (7-9)

    • Amosi aambiwa aache kutabiri (10-17)

  • 8

    • Maono ya kikapu kilichojaa matunda ya wakati wa kiangazi (1-3)

    • Wakandamizaji washutumiwa (4-14)

      • Njaa ya kiroho (11)

  • 9

    • Hukumu za Mungu haziepukiki (1-10)

    • Kibanda cha Daudi kitainuliwa (11-15)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki