Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • nwt uku. 1550
  • Malaki—Yaliyomo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Malaki—Yaliyomo
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Habari Zinazolingana
  • Bwana wa Kweli Aja kwa Ajili ya Hukumu
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1989
  • Mambo Makuu Katika Kitabu cha Malaki
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2007
  • ‘Leteni Sehemu ya Kumi Yote Ghalani’
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1992
  • Malaki, Kitabu cha
    Ufahamu wa Kina wa Maandiko
Pata Habari Zaidi
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Malaki—Yaliyomo

MALAKI

YALIYOMO

  • 1

    • Yehova anawapenda watu wake (1-5)

    • Makuhani watoa dhabihu zisizofaa (6-14)

      • Jina la Mungu litakuwa kuu miongoni mwa mataifa (11)

  • 2

    • Makuhani washindwa kuwafundisha watu (1-9)

      • Midomo ya kuhani inapaswa kulinda ujuzi (7)

    • Watu wawataliki wake zao bila msingi (10-17)

      • “‘Ninachukia talaka,’ asema Yehova” (16)

  • 3

    • Bwana wa kweli aja kutakasa hekalu lake (1-5)

      • Mjumbe wa agano (1)

    • Washauriwa wamrudie Yehova (6-12)

      • Yehova habadiliki (6)

      • “Nirudieni, nami nitawarudia” (7)

      • ‘Leteni sehemu yote ya kumi, na Yehova atawamwagia baraka’ (10)

    • Mwadilifu na mwovu (13-18)

      • Majina yaandikwa katika kitabu cha kumbukumbu cha Mungu (16)

      • Tofauti kati ya mwadilifu na mwovu (18)

  • 4

    • Kuja kwa Eliya kabla ya siku ya Yehova (1-6)

      • “Jua la uadilifu litawaangazia” (2)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki