Yaliyomo
Februari 2009
Dunia Imekusudiwa Itegemeze Uhai
Kila kitu katika Dunia kinaonyesha kwamba ilikusudiwa itegemeze uhai. Je, dunia ilijitokeza tu, au ilibuniwa kwa kusudi fulani? Sayansi na Biblia zinasema nini?
8 Mizunguko Inayotegemeza Uhai
8 Uandalizi wa Pekee kwa Ajili ya Wanadamu
10 Wakati Ndege Wanapogonga Majengo
14 Kuitazama Mihiri kwa Ukaribu
25 Kupiga Mbinja—Njia ya Pekee ya “Kuzungumza”
26 Unaweza Kuboresha Kumbukumbu Lako!
31 Ungejibuje?
32 Je, Kuna Muumba, na Ikiwa Yupo, Je, Anakujali?
Ninaweza Kufanya Nini Uhusiano Ukivunjika? 18
Mchumba mmoja anapovunja uhusiano, mwenzake anaweza kuvunjika moyo kabisa. Ona jinsi unavyoweza kushughulikia hali hiyo ngumu.
Dyslexia Haijanizuia Kufikia Miradi Yangu 21
Soma hadithi yenye kuchochea ya mwanamume Mdenishi ambaye hakuruhusu tatizo la dyslexia limzuie kutimiza miradi yake maishani.
[Hisani ya Picha katika ukurasa wa 2]
COVER: Earth: NASA/The Visible Earth (http://visibleearth.nasa.gov/); Sun: SOHO (ESA & NASA)