Yaliyomo
Agosti 2009
Chuki na Ubaguzi?—Kwa Nini? Unaweza Kukabilianaje?
Mamilioni ya watu wanakumbwa na ubaguzi. Ni mambo gani yanayosababisha ukosefu huo wa haki? Je, kuna suluhisho?
3 Kutendewa Kama Mtu Asiye na Maana
4 Chuki na Ubaguzi—Kufichua Mizizi Yake
14 Ustadi wa Kutayarisha Kahawa ya Spreso
19 Makosa Yaliyoanzisha Vita vya Ulimwengu
22 Maoni ya Biblia Je, Kunapaswa Kuwa na Tofauti Kati ya Makasisi na Waumini?
24 Wazazi Waaminifu na Wenye Ushirikiano
25 Je, Ni Kazi ya Ubuni? Koa la Moluska
26 Unavyoathiriwa na Tekinolojia ya Kutunza Siri!
31 Ungejibuje?
32 ‘Sanduku Linaloweza Kufunguliwa na Yehova Peke Yake’
Ninaweza Kukabilianaje na Kifo cha Mzazi? 10
Ni mambo machache sana maishani yanayoweza kumwathiri mtu zaidi kuliko kifo cha mzazi. Ona jinsi unavyoweza kukabiliana na hisia zinazokuja kwa sababu ya msiba kama huo.
Kadiri wanasayansi wanavyojifunza mengi kuhusu ulimwengu, ndivyo wanavyogundua hawajui mengi. Soma kuhusu magunduzi fulani ya hivi karibuni yenye kushangaza.
[Hisani ya Picha katika ukurasa wa 2]
Based on NASA photo