Msaada Zaidi Kwa Ajili Ya Familia
BIBLIA INA MWONGOZO WENYE KUTEGEMEKA ZAIDI kwa ajili ya wenzi wa ndoa, wazazi, na vijana. Kanuni zake zinaweza kuboresha uwezo wa mtu wa kufikiri na wa kufanya maamuzi. —Methali 1:1-4.
PIA, BIBLIA INATOA MAJIBU YA MASWALI MUHIMU ZAIDI MAISHANI KAMA VILE:
Maisha yana kusudi gani?
Je, Mungu ndiye wa kulaumiwa kwa sababu ya mateso tunayokabili?
Ni nini hutokea mtu anapokufa?
Tunakualika uichunguze Biblia na kujionea mwenyewe majibu ya maswali hayo na mengine mengi. Tazama video yenye kichwa, Kwa Nini Ujifunze Biblia? Tembelea www.jw.org/sw.