Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • g21 Na. 1 uku. 15
  • Unaweza Kuwa na Hekima

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Unaweza Kuwa na Hekima
  • Amkeni!—2021
  • Vichwa vidogo
  • Habari Zinazolingana
  • Mungu Anakualika Unufaike na Hekima Yake
  • Unaweza Kupata Hekima Kutoka kwa Mungu!
  • Tunamsikiliza Mungu Jinsi gani?
    Msikilize Mungu Uishi Milele
  • Je, Kuna Mungu? Hilo Linakuhusuje?
    Amkeni!—2015
  • Mema na Mabaya: Uamuzi Unaopaswa Kufanya
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Toleo la Watu wote)—2024
  • Mafundisho ya Kweli Yanayompendeza Mungu
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2005
Pata Habari Zaidi
Amkeni!—2021
g21 Na. 1 uku. 15

Unaweza Kuwa na Hekima

“Kila Andiko limeongozwa na roho ya Mungu.” (2 Timotheo 3:16) Katika mstari huu neno “limeongozwa” linamaanisha kwamba Mungu Mweza-Yote aliweka mawazo yake kwenye akili za waandishi wa Biblia.

UKWELI KUHUSU BIBLIA

  • Vitabu vidogo-vidogo vya Biblia.

    66

    Idadi ya vitabu vidogo-vidogo vilivyomo kwenye Biblia.

  • Mkono ukiandika wakati mwanga ukimulika kutoka juu.

    40

    Idadi ya wanaume waliotumiwa kuandika Biblia.

  • Kifaa cha kupima muda.

    1513 K.W.K.

    Mwaka ambao Biblia ilianza kuandikwa—zaidi ya miaka 3,500 iliyopita!

  • Herufi za lugha mbalimbali.

    3,000 na zaidi

    Idadi ya lugha ambazo Biblia inapatikana ikiwa nzima au kwa sehemu.

Mungu Anakualika Unufaike na Hekima Yake

“Mimi, Yehova . . . ninayekufundisha ili ujifaidi mwenyewe, ninayekuongoza katika njia unayopaswa kutembea. Laiti ungesikiliza amri zangu! Ndipo amani yako ingekuwa kama mto na uadilifu wako kama mawimbi ya bahari.”​​—ISAYA 48:17, 18.

Ona maneno hayo kuwa mwaliko ambao Mungu anakupatia wewe binafsi. Anataka uwe na amani ya akili na moyoni na pia uwe na furaha ya kweli, na anaweza kukusaidia kupata mambo hayo.

Unaweza Kupata Hekima Kutoka kwa Mungu!

“Katika mataifa yote, lazima habari njema ihubiriwe.”​​—MARKO 13:10.

“Habari njema” inatia ndani ahadi za Yehova za kukomesha kuteseka, kufanya dunia iwe paradiso, na kuwafufua wapendwa wetu waliokufa. Mashahidi wa Yehova wanahubiri ujumbe wa Biblia duniani pote.

Niliposoma Biblia, Nilielewa

“Tangu nikiwa na umri mdogo, sikuelewa Muumba wetu ni nani. Nilijiuliza, ‘Inawezekanaje kwamba kila taifa liwe na mungu au muumba wake?’ Nilipenda kile ambacho Biblia inasema kwenye Waroma 3:29 kwamba Mungu wa kweli ni ‘Mungu wa watu wa mataifa yote.’ Pia, ana jina la kibinafsi, yaani, Yehova na anataka tuwe rafiki zake.”​​—Rakesh.

Rakesh.
    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki