Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • my seh. ya 8
  • Unabii wa Biblia Unatimizwa

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Unabii wa Biblia Unatimizwa
  • Kitabu Changu cha Hadithi za Biblia
  • Habari Zinazolingana
  • “Utakuwa Pamoja na Mimi katika Paradiso”
    Kumsikiliza Mwalimu Mkuu
  • Ni Nini Kusudi la Mungu kwa Dunia?
    Mungu Anataka Tufanye Nini?
  • Tunavyoweza Kuishi Milele
    Kitabu Changu cha Hadithi za Biblia
  • Mungu Ana Kusudi Gani Kuelekea Dunia?
    Habari Njema Kutoka kwa Mungu!
Pata Habari Zaidi
Kitabu Changu cha Hadithi za Biblia
my seh. ya 8

SEHEMU YA 8

Unabii wa Biblia Unatimizwa

Biblia inasimulia hadithi ya mambo yaliyotokea zamani na pia yatakayotokea wakati ujao. Wanadamu hawawezi kutabiri mambo ya wakati ujao. Ndiyo sababu twajua kwamba Biblia imetoka kwa Mungu. Biblia yasema nini juu ya wakati ujao?

Inasema juu ya vita kuu ya Mungu. Katika vita hiyo Mungu ataisafisha dunia kwa kuondoa ubaya wote na watu wabaya, lakini atalinda wale wanaomtumikia. Yesu Kristo, mfalme wa Mungu atahakikisha kwamba watumishi wa Mungu wanafurahia amani na furaha, na kwamba hawatakuwa wagonjwa tena kamwe wala kufa.

Twaweza kufurahi kwa vile Mungu atafanya paradiso mpya hapa duniani, sivyo? Lakini lazima tufanye jambo fulani iwapo twataka kuishi katika paradiso hiyo. Katika hadithi ya mwisho ya kitabu hiki tunajifunza yanayotupasa kufanya ili tuje tufurahie mambo mazuri ajabu ambayo Mungu amewekea wale wanaomtumikia. Basi soma Sehemu ya 8 ujue ambayo Biblia inatabiri juu ya wakati ujao.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki