Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • le kur. 18-21
  • Mfalme wa Mbinguni Analeta Baraka Nyingi Duniani

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Mfalme wa Mbinguni Analeta Baraka Nyingi Duniani
  • Furahia Milele Maisha Duniani!
  • Habari Zinazolingana
  • Serikali Itakayoleta Paradiso
    Serikali Itakayoleta Paradiso
  • Ufalme wa Mungu Ni Nini?
    Biblia Inatufundisha Nini?
  • Ni Nini Kusudi la Mungu kwa Dunia?
    Mungu Anataka Tufanye Nini?
  • Kuhusu Ufalme wa Mungu
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2008
Pata Habari Zaidi
Furahia Milele Maisha Duniani!
le kur. 18-21

Mfalme wa Mbinguni Analeta Baraka Nyingi Duniani

41 Yehova alifanya Yesu awe Mfalme mbinguni.—Isaya 9:6; Danieli 7:13, 14; Matendo 2:32-36

42 Yeye atatawala dunia yote akiwa juu.—Danieli 7:14; Mathayo 28:18

43 Wewe unakumbuka ni jambo gani litapata wabaya?—Zaburi 37:9, 10; Luka 13:5

44 Unakumba jina la malaika wa kwanza kufanya dhambi? Yesu ataondoa huyo pamoja na wale malaika wengine wabaya. Sanamu zao na mifano yao ya ibada zitaharibiwa.—Waebrania 2:14; Ufunuo 20:2, 10

45 Yesu atafanya mambo mengi mema kwa ajili ya watu wenye kutii.—Waebrania 5:9

46 Hakuna mtu atakuwa mgonjwa tena.—Isaya 33:24; Ufunuo 22:1, 2

Wewe unakumbuka vile Yesu aliponesha wagonjwa?

47 Kila mtu atakuwa na vitu vizuri.—Isaya 65:17, 21-23

48 Mungu anakumbuka hata watu ambao wamekufa. Atatumia Yesu arudishie watu hao uzima. Tendo la kufanya hivyo linaitwa ufufuo.—Yohana 5:28, 29; 11:25

49 Wakati wabaya wote watakapokwisha kuuawa waondolewe kabisa, hakuna mtu atakufa tena. Hata wanyama wa mwituni hawatakuwa hatari. Kila mtu atakuwa na furaha milele.—Ufunuo 21:4; Isaya 65:25; Zaburi 37:11, 29

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki