Wimbo 17
“Matone ya Umande” ya Yehova Kati ya Mataifa Mengi
1. Wazuri kama umande
Ni mabaki ya Kristo.
Wenye bei sana kwake,
Wakutanapo kwake.
2. Kati yao mataifa,
Wako kama umande.
Ni ’pole, waburudisha.
Wafuata amani.
3. Wenzi huunga mabaki
Siku ya Kutawala.
Kondoo, kama matone,
Watumikia nao.
4. Wengi wanajitolea,
Kutetea Yehova.
Kama matone-umande,
Tuwe, tuhubiripo.