Wimbo 33
“Yehova Mwenyewe Amekuwa Mfalme!”
1. Enyi, shukuruni Yehova.
Mutangazeni mataifani.
Mwimbieni Mungu, kwa sauti tamu,
Kazi zake zifikirini.
(Korasi)
2. Utukufu wake semeni.
Wokovu wake wa siku zote.
Yah ni mukuu, wa kusifiwa sana.
Kuliko miungu mingine.
(Korasi)
3. Sema Mungu ni mutukufu.
Mushukuruni Mwana, Mufalme.
Na Mungu wetu mumwinamie sana,
Tukuzeni Yah, musifuni.
(KORASI)
Mbingu zifurahi, Na dunia pia,
Yehova amekuwa Mufalme!
Mbingu zifurahi, Na dunia pia,
Yehova amekuwa Mufalme!