Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sn wimbo na. 46
  • Yehova Ni Mfalme Wetu!

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yehova Ni Mfalme Wetu!
  • Mwimbieni Yehova
  • Habari Zinazolingana
  • Yehova Ni Mfalme Wetu!
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • “Yehova Mwenyewe Amekuwa Mfalme!”
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Ufalme Umesimamishwa​—⁠Na Uje!
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Ufalme Umeanza Kutawala—Na Uje!
    Mwimbieni Yehova—Nyimbo Mpya
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova
sn wimbo na. 46

Wimbo Na. 46

Yehova Ni Mfalme Wetu!

Makala Iliyochapishwa

(Zaburi 97:1)

1. Mushangilieni Yehova.

Mbingu na dunia zamutukuza.

Nyimbo za shangwe na tumwimbie Mungu.

Kazi zake tutafakari.

(KORASI)

Mbingu zifurahi, na dunia pia,

Sasa Yehova ni mufalme!

Mbingu zifurahi, na dunia pia,

Sasa Yehova ni Mufalme!

2. Tangaza utukufu wake.

Matendo yake ya nguvu tangaza.

Astahili sifa, Yehova Mufalme,

Mbele zake tunainama.

(KORASI)

Mbingu zifurahi, na dunia pia,

Sasa Yehova ni mufalme!

Mbingu zifurahi, na dunia pia,

Sasa Yehova ni Mufalme!

3. Yah anatawala kwa haki.

Amemutawaza Kristo Mwanaye.

Miungu yote imwinamie yeye,

Kwa kuwa astahili sifa.

(KORASI)

Mbingu zifurahi, na dunia pia,

Sasa Yehova ni mufalme!

Mbingu zifurahi, na dunia pia,

Sasa Yehova ni Mufalme!

(Ona pia 1 Nya. 16:9; Zab. 68:20; 97:6, 7.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki