Wimbo 73
“Hekima Ina Wenye Kiasi”
1. Kutembea naye Mungu,
Sharti tuwe na kiasi,
Tujue Mungu mukuu
Na sisi ni duni sana!
2. Sisi ni ‘watumwa bure!
Twakiri tu wenye dhambi.
Tukiwa nacho kiasi,
Tutafaidika sana!
3. ‘Mwe kama wadogo ninyi,’
Katufunza Bwana Yesu.
Tukiwa nacho kiburi,
Twavunja shauri lake.
4. Tutumikie kwa hofu,
Kwani twapenda Yehova.
Kuenda naye kiasi
Ni hekima toka juu.