Wimbo 184
Wachungaji Wenye Upendo Huchunga “Kondoo” za Mungu
1. Yehova tuna shukrani
Muchunga wa “kondoo.”
Watutunza kwa upendo.
Unalinda “kondoo.”
2. Yesu alitutolea
“Zawadi,” ni wachunga.
Na wanajitumikisha,
Wafundisha ukweli.
3. Wachunga wa zizi la Yah,
Mulitunze vizuri.
Lifikie kukomaa,
Lipate kuwa zima.
4. Tuhubiripo Ufalme,
Tunapata himizo!
Tutatumikia Mungu,
Tuwe wenye bidii.