Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ssb wimbo na. 217
  • Kupata Urafiki wa Yehova

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Kupata Urafiki wa Yehova
  • Mwimbieni Yehova Sifa
  • Habari Zinazolingana
  • Yehova-Mtu Umjuaye Tu au Rafiki Yako?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1992
  • Zisikilizeni Habari za Ufalme
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Kusitawisha Urafiki Ulio Bora Zaidi Katika Ulimwengu Wote
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1985
  • Taifa Takatifu la Yehova
    Mwimbieni Yehova Sifa
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova Sifa
Ssb wimbo na. 217

Wimbo 217

Kupata Urafiki wa Yehova

(Zaburi 15:1, 2)

1. Nani atakuwa rafikiyo Mungu?

Nani atabaki hemani mwako daima?

Asiye na kosa Akuogopaye.

Mwenye moyo safi na asemaye ukweli.

Yehova, wamupa nani urafiki?

Nani ataishi nawe mulimani mwako?

Ni ambaye usemi wake haumuudhi jirani.

(Korasi)

2. Nani atakaa nawe, E Yehova?

Nani rafikiyo, utakayekaa naye?

Asiyegeuka, Hata iumize,

Aenda kinyofu na, anashika ukweli.

Urafiki nawe, Mungu tunataka.

Neno lako husema wazi matakwa yako.

Tunyoshe mapito yetu, tusipinde sheria zako.

(Korasi)

3. Twataka kukaa, nawe E Yehova.

Amani yako yazidi; na mawazo pia.

Kupitia Yesu, Umeirudisha

Ibada safi. Hivyo wengi wakuabudu.

Urafiki huo, Mungu tutalinda.

Maisha zetu wenyewe zisipate dhara.

Kama jeshi la umoja twasimama mlimani pako.

(KORASI)

Yehova, milele, tuwe rafikizo.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki