“Endelea Katika Mambo Yale Ambayo Ulijifunza”
Hivyo ndivyo mtume Paulo alivyomwandikia kijana Timotheo. (2 Timotheo 3:14, NW) Baada ya kukisoma kichapo hiki, unajua mambo mengi ambayo Mungu amewekea akiba wale wanaompenda. Lakini unahitaji uzidi kufanya maendeleo katika njia ya kiroho. Mashahidi wa Yehova watafurahi kukusaidia, ikiwa hujaanza kupokea msaada huo. Wewe andikia I.B.S.A. kwenye anwani inayofaa iliyoorodheshwa hapa chini, uombe mhudumu wa Mashahidi wa Yehova aje nyumbani kwako na kujifunza Biblia kikawaida pamoja na wewe bila malipo.