“Endelea Katika Mambo Yale Ambayo Ulijifunza”
Hivyo ndivyo mtume Paulo alivyomwandikia kijana Timotheo. (2 Timotheo 3:14, NW) Baada ya kukisoma kitabu hiki, unajua mambo mengi ambayo Mungu amewekea akiba wale wanaompenda. Lakini unahitaji uzidi kufanya maendeleo katika njia ya kiroho. Mashahidi wa Yehova watafurahi kukusaidia, ikiwa hujaanza kupokea msaada huo. Wewe andika barua yako kwenye anuani ya nchi yako, kama ilivyoandikwa chini, uombe mhudumu wa Mashahidi wa Yehova aje nyumbani kwako na kujifunza Biblia kikawaida pamoja na wewe bila malipo.