Sehemu 4
Kupiga Mbiu ya Habari Njema Katika Dunia Yote Inayokaliwa
Kupiga mbiu juu ya Ufalme wa Mungu kuwa tumaini pekee kwa wanadamu kumefikiaje sehemu zote za dunia? Hapa, katika Sura ya 22 hadi 24, pana ripoti ya kusisimua, pamoja na mambo yaliyoonwa yenye kuchangamsha moyo ya wale ambao wameshiriki kazi hiyo.
[Picha katika ukurasa wa 402]