Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • jt uku. 32
  • Tunakualika

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Tunakualika
  • Mashahidi wa Yehova—Wao Ni Nani? Wanaamini Nini?
  • Habari Zinazolingana
  • Mwaliko Wetu Kwako
    Mashahidi wa Yehova Katika Karne ya 20
  • Kuchochea Kwenye Upendo na Kazi Zilizo Bora—Jinsi Gani?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1995
  • Fulizeni Kuwa Tayari kwa Wakati Ujao Mwangavu
    Amkeni!—1995
  • “Roho na Bibi-arusi Huendelea Kusema: ‘Njoo!’”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2010
Pata Habari Zaidi
Mashahidi wa Yehova—Wao Ni Nani? Wanaamini Nini?
jt uku. 32

Tunakualika

Tumefurahia kusema nawe kupitia broshua hii. Twatumaini umefurahia kujifunza mengi zaidi juu ya Mashahidi wa Yehova. Tafadhali kubali mwaliko wetu wa kututembelea kwenye Jumba letu la Ufalme. Ujionee jinsi mikutano yetu inavyofanywa. Ujionee jinsi tunavyojitahidi kuwajulisha wengine habari njema za dunia paradiso chini ya Ufalme wa Kristo.

Mungu ameiahidi. “Ziko mbingu mpya na dunia mpya ambazo tunangojea kulingana na ahadi yake, na katika hizo uadilifu utakaa.” (2 Petro 3:13) Karne nyingi zimepita. Muda wa kusubiri wakaribia kwisha. Hali za ulimwengu zaonyesha hivyo.

“Kadiri mwonavyo siku ikikaribia,” akasema mtume Paulo, “tufikiriane ili kuchocheana kwenye upendo na kazi zilizo bora, si kuachilia mbali kukusanyika pamoja sisi wenyewe.” (Waebrania 10:24, 25) Sisi twakualika ufuate ushauri wa Paulo ukutanike pamoja nasi.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki