Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sn wimbo na. 98
  • Kupanda Mbegu za Ufalme

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Kupanda Mbegu za Ufalme
  • Mwimbieni Yehova
  • Habari Zinazolingana
  • Kupanda Mbegu za Ufalme
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Kupanda Mbegu ya Ufalme
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Kupanda Mbegu za Habari Njema Katika Ulimwengu Wenye Vita
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1974
  • Manufaa za Kupenda Neno la Mungu
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1999
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova
sn wimbo na. 98

Wimbo Na. 98

Kupanda Mbegu za Ufalme

Makala Iliyochapishwa

(Mathayo 13:4-8)

1. Njooni watumwa wa Mungu,

Muliojiweka wakfu.

Fanyeni kazi ya Bwanetu,

Fwateni hatua zake.

Mbegu zipandeni bila woga,

Moyoni penye rutuba.

Mungu asifiwe kwa kazi yenu;

Tieni bidii shambani.

2. Kati ya mbegu mupandazo,

Zaanguka miambani.

Japo zachipuka haraka,

Hazina mizizi hata.

Miiba na pupa huzisonga,

Waupenda ulimwengu.

Nyingine zitamea na kuzaa,

Katika udongo muzuri.

3. Na mafanikio shambani,

Yawategemea ninyi.

Onyesha subira, upendo,

Jueni mioyo yao.

Waondoleeni wasiwasi,

Fanyeni yote mwezayo.

Kwa shangwe twatumaini kuvuna,

Thelathini na hata mia.

(Ona pia Mt. 13:19-23; 22:37.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki