Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sn wimbo na. 7
  • Wakfu wa Kristo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Wakfu wa Kristo
  • Mwimbieni Yehova
  • Habari Zinazolingana
  • Wakfu wa Kikristo
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Wakfu wa Kikristo
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Kujiweka Wakfu—Kwa Nani?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1995
  • Kwa Nini Ujiweke Wakfu kwa Yehova?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2010
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova
sn wimbo na. 7

Wimbo Na. 7

Wakfu wa Kikristo

Makala Iliyochapishwa

(Waebrania 10:7, 9)

1. Ulimwengu uliumbwa

Na Yehova Mungu,

Dunia na anga pia,

Vyote aliumba.

Ndiye Chanzo cha uhai,

Kaonyesha wazi.

Anastahili sifa zote,

Na ibada ya wote.

2. Na Yesu alibatizwa

Atimize haki.

Alimwambia Yehova:

‘Naja kutumika.’

Alipotoka Yordani,

Mutiwa-mafuta,

Akawa mushikamanifu

Na wakfu kwa Yehova.

3. Mbele zako twasimama,

Kukusifu wewe.

Tunajikana wenyewe,

Tuwe mali yako.

Ulitoa Mwana wako,

Bei kubwa sana.

Hivyo maisha yetu yote,

Tumejitoa kwako.

(Ona pia Mt. 16:24; Marko 8:34; Luka 9:23.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki