Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sn wimbo na. 39
  • Amani Tuliyo Nayo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Amani Tuliyo Nayo
  • Mwimbieni Yehova
  • Habari Zinazolingana
  • Amani Tuliyo Nayo
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Mali Yetu Amani
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Acha “Amani Ya Mungu” Ilinde Moyo Wako
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1991
  • Jinsi Ambavyo Amani Yaweza Kupatikana Duniani
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1980
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova
sn wimbo na. 39

Wimbo Na. 39

Amani Tuliyo Nayo

Makala Iliyochapishwa

(Yohana 14:27)

1. Tumusifu Yehova,

Mwenye amani,

Atakomesha vita,

Kuwe amani.

Mukuu wa amani,

Ni Kristo Yesu.

Kutakuwa amani,

Atawalapo.

2. Tumeacha kinyongo,

Pia uchungu.

Mapanga na mikuki,

Tumebadili.

Ili kuwe amani,

Tutasamehe,

Na kuishi pamoja,

Kama “kondoo.”

3. Na tuwe na amani,

Sifa ya roho.

Twaonyesha hekima,

Kutoka juu.

Wengine wataona,

Tuna amani.

Hadi Ufalme uje,

Amani tele.

(Ona pia Zab. 46:9; Isa. 2:4; Yak. 3:17, 18.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki