Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo na. 113
  • Amani Tuliyo Nayo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Amani Tuliyo Nayo
  • ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Habari Zinazolingana
  • Amani Tuliyo Nayo
    Mwimbieni Yehova
  • Mali Yetu Amani
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Acha “Amani Ya Mungu” Ilinde Moyo Wako
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1991
  • Jinsi Ambavyo Amani Yaweza Kupatikana Duniani
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1980
Pata Habari Zaidi
‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
sjj wimbo na. 113

WIMBO NA. 113

Amani Tuliyo Nayo

Makala Iliyochapishwa

(Yohana 14:27)

  1. 1. Tumsifu Yehova,

    Mwenye amani,

    Atakomesha vita,

    Kuwe amani.

    Mkuu wa amani,

    Ni Kristo Yesu.

    Kutakuwa amani,

    Atawalapo.

  2. 2. Tumeacha ghadhabu,

    Na chuki pia.

    Mapanga na mikuki,

    Tumebadili.

    Ili kuwe amani,

    Tutasamehe,

    Na kuishi pamoja,

    Kama “kondoo.”

  3. 3. Amani ya Yehova,

    Baraka kwetu.

    Tutii maagizo,

    Toka moyoni.

    Wengine na waone,

    Tuna amani.

    Hadi Ufalme uje,

    Kuwe amani.

(Ona pia Zab. 46:9; Isa. 2:4; Yak. 3:​17, 18.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki