Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sn wimbo na. 124
  • Wakaribisheni

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Wakaribisheni
  • Mwimbieni Yehova
  • Habari Zinazolingana
  • Wakaribisheni
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • “Fuateni Mwendo wa Ukaribishaji-Wageni”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1996
  • Sababu Gani Kuwa Mkaribishaji?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1976
  • Ukaribishaji Wageni​—Sifa Inayovutia na Inayohitajika Sana!
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2018
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova
sn wimbo na. 124

Wimbo Na. 124

Wakaribisheni

Makala Iliyochapishwa

(Matendo 17:7)

1. Yehova huonyesha ukarimu.

Ubaguzi hana, si mudhalimu.

Jua nayo mvua,

hanyimi yeyote.

Hutoa chakula kwa wote.

Tuwafadhilipo watu wa chini,

Twamwiga Yehova, anathamini.

Naye Baba yetu, atatufadhili,

Kwa wema wetu na fadhili.

2. Hatuwezi kujua matokeo,

Ya kutokuwa na upendeleo.

Hata iwe kwamba,

hatuwafahamu,

Twawakaribisha kwa hamu.

Nasi twawaambia, ‘karibuni!’

Wajistareheshe bila huzuni.

Mungu awajua wote wamwigao.

Wawafadhilio wenzao.

(Ona pia Mdo. 16:14, 15; Rom. 12:13; 1 Tim. 3:2; Ebr. 13:2; 1 Pet. 4:9.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki