Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo na. 100
  • Wakaribisheni

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Wakaribisheni
  • ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Habari Zinazolingana
  • Wakaribisheni
    Mwimbieni Yehova
  • “Fuateni Mwendo wa Ukaribishaji-Wageni”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1996
  • Sababu Gani Kuwa Mkaribishaji?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1976
  • Ukaribishaji Wageni​—Sifa Inayovutia na Inayohitajika Sana!
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2018
Pata Habari Zaidi
‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
sjj wimbo na. 100

WIMBO NA. 100

Wakaribisheni

Makala Iliyochapishwa

(Matendo 17:7)

  1. 1. Yehova huonyesha ukarimu.

    Ubaguzi hana, si mdhalimu

    Jua nayo mvua,

    hanyimi yeyote.

    Hutoa chakula kwa wote.

    Tuwafadhilipo watu wa chini,

    Twamwiga Yehova, Anathamini.

    Naye Baba yetu,

    atatufadhili,

    Kwa wema wetu na fadhili.

  2. 2. Hatuwezi kujua matokeo,

    Ya kutokuwa na upendeleo.

    Hata iwe kwamba,

    hatuwafahamu,

    Twawakaribisha kwa hamu.

    Nasi twawaambia, ‘karibuni! ’

    Wajistareheshe bila huzuni.

    Mungu awajua

    wote wamwigao.

    Wawafadhilio wenzao.

(Ona pia Mdo. 16:​14, 15; Rom. 12:13; 1 Tim. 3:2; Ebr. 13:2; 1 Pet. 4:9.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki