Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • ll seh. ya 11 kur. 24-25
  • Je, Yehova Hutusikiliza?

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Je, Yehova Hutusikiliza?
  • Msikilize Mungu Uishi Milele
  • Habari Zinazolingana
  • Kumkaribia Mungu Katika Sala
    Mungu Anataka Tufanye Nini?
  • Zawadi ya Sala
    Biblia Inatufundisha Nini?
  • Mkaribie Mungu Kupitia Sala
    Furahia Maisha Milele!—Masomo ya Kujifunza Biblia
  • Yesu Anatufundisha Kusali
    Kumsikiliza Mwalimu Mkuu
Pata Habari Zaidi
Msikilize Mungu Uishi Milele
ll seh. ya 11 kur. 24-25

SEHEMU YA 11

Je, Yehova Hutusikiliza?

Mungu husikiliza sala zetu. 1 Petro 3:12

Kiti cha ufalme cha Yehova huko mbinguni

Yehova ni ‘Msikiaji wa sala.’ (Zaburi 65:2) Anataka tuzungumze naye kutoka moyoni.

Mtu akisali

Sali kwa Yehova, na si kwa mwingine yeyote.

  • Yesu alitufundisha jinsi ya kusali.​—Mathayo 6:9-15.

  • Mungu humsikiliza nani?​—Zaburi 145:18, 19.

Kuna mambo mengi tunayoweza kutaja katika sala. 1 Yohana 5:14

Yesu na wale 144,000 katika Ufalme

Sali mapenzi ya Mungu yatendeke mbinguni na duniani.

Sali katika jina la Yesu ili kuonyesha kwamba unathamini mambo aliyokufanyia.

Mwanamume Mkristo anamtegemea Yehova amsaidia kupata mahitaji yake na ya familia yake na pia kufanya mema

Mwombe Yehova akusaidie kufanya mema. Unaweza pia kusali kuhusu chakula, kazi, makao, mavazi, na afya.

  • Yehova huwasikiliza watu wanaofanya mambo mema.​—Methali 15:29.

  • Usihangaike.—Wafilipi 4:6, 7.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki