Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • T-32 kur. 1-4
  • Ni Nini Siri ya Kuwa na Familia Yenye Furaha?

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Ni Nini Siri ya Kuwa na Familia Yenye Furaha?
  • Ni Nini Siri ya Kuwa na Familia Yenye Furaha?
  • Habari Zinazolingana
  • Una Maoni Gani Kuhusu Wakati Ujao?
    Una Maoni Gani Kuhusu Wakati Ujao?
  • Je, Kuteseka Kutaisha?
    Je, Kuteseka Kutaisha?
  • Je, Kweli Wafu Wataishi Tena?
    Je, Kweli Wafu Wataishi Tena?
  • Una Maoni Gani Kuhusu Biblia?
    Una Maoni Gani Kuhusu Biblia?
Pata Habari Zaidi
Ni Nini Siri ya Kuwa na Familia Yenye Furaha?
T-32 kur. 1-4

Ni Nini Siri ya Kuwa na Familia Yenye Furaha?

Je, unafikiri ni . . .

  • upendo?

  • pesa?

  • jambo lingine?

BIBLIA HUSEMA HIVI

“Wenye furaha ni wale wanaolisikia neno la Mungu na kulishika!” —Luka 11:28, Tafsiri ya Ulimwengu Mpya.

FAIDA ZA KUAMINI JAMBO HILO

Kupata upendo wa kweli.​—Waefeso 5:28, 29.

Kufurahia heshima ya kweli.​—Waefeso 5:33.

Kupata usalama wa kweli.​—Marko 10:6-9.

Familia zenye furaha: Mama na binti yake, wenzi wa ndoa, wazazi na mwana wao
Familia zenye furaha: Mama na binti yake, wenzi wa ndoa, wazazi na mwana wao
Familia zenye furaha: Mama na binti yake, wenzi wa ndoa, wazazi na mwana wao

JE, KWELI TUNAWEZA KUAMINI KILE AMBACHO BIBLIA HUSEMA?

Ndiyo, kwa angalau sababu mbili:

  • Mungu ndiye Mwanzilishi wa familia. Biblia inasema kwamba “kila familia . . . hupata jina kutoka” kwa Yehova Mungu. (Waefeso 3:14, 15) Kwa maneno mengine, Yehova ndiye mwanzilishi wa mpango wa familia. Kwa nini jambo hilo ni muhimu?

    Fikiria jambo hili: Ikiwa unafurahia chakula chenye ladha nzuri na ungependa kujua ni viungo gani vilivyotumiwa kukitayarisha, ungemuuliza nani? Bila shaka, yule aliyekipika.

    Vivyo hivyo, ili kujua kinachofanya maisha ya familia yawe yenye furaha, inafaa kumtegemea Yehova, Mwanzilishi wa mpango wa familia.—Mwanzo 2:18-24.

  • Mungu anakujali. Ni jambo la hekima kwa familia kufuata mashauri ya Yehova anayotoa kupitia Neno lake. Kwa nini? ‘Kwa sababu yeye anatujali.’ (1 Petro 5:6, 7) Yehova anakujali sana—na sikuzote mashauri yake hutufaidi!—Methali 3:5, 6; Isaya 48:17, 18.

JAMBO LA KUFIKIRIA

Wenzi waliofunga ndoa karibuni wakipokea ushauri kutoka kwa mzee Mkristo; wanasoma pamoja kutoka katika Biblia
Wenzi waliofunga ndoa karibuni wakipokea ushauri kutoka kwa mzee Mkristo; wanasoma pamoja kutoka katika Biblia
Wenzi waliofunga ndoa karibuni wakipokea ushauri kutoka kwa mzee Mkristo; wanasoma pamoja kutoka katika Biblia

Unawezaje kuwa mume, mke, au mzazi mzuri?

Biblia inajibu swali hilo kwenye WAEFESO 5:1, 2 na WAKOLOSAI 3:18-21.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki