Wimbo Na. 154
Tutaendelea Kuvumilia
Makala Iliyochapishwa
Yesu asema
Tuvumilie magumu.
Alikazia shangwe
ya mambo yajayo.
Ahadi ya Mungu,
alitafakari.
(KORASI)
Tuwe wavumilivu.
Tulinde imani.
Kwa kuwa atupenda,
tutavumilia hadi mwisho.
Japo maisha
yamejawa na uchungu;
Sisi twaona,
uzima wenye furaha.
Imara, thabiti,
Tutavumilia.
(KORASI)
Tuwe wavumilivu.
Tulinde imani.
Kwa kuwa atupenda,
tutavumilia hadi mwisho.
Hatufi moyo
Wala hatutaogopa.
Tutadumisha
uaminifu kwa Mungu.
Imara, tudumu,
Siku I karibu.
(KORASI)
Tuwe wavumilivu.
Tulinde imani.
Kwa kuwa atupenda,
tutavumilia hadi mwisho.
(Ona pia Mdo. 20:19, 20; Yak. 1:12; 1 Pet. 4:12-14.)