Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • lfb kur. 58-59
  • Utangulizi wa Sehemu ya 5

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Utangulizi wa Sehemu ya 5
  • Masomo Unayoweza Kujifunza Katika Biblia
  • Habari Zinazolingana
  • Kunufaika na “Nafaka ya Mbinguni”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1999
  • Utangulizi wa Sehemu ya 11
    Masomo Unayoweza Kujifunza Katika Biblia
  • Utangulizi wa Sehemu ya 4
    Masomo Unayoweza Kujifunza Katika Biblia
  • Waisraeli Wamtolea Yehova Ahadi
    Masomo Unayoweza Kujifunza Katika Biblia
Pata Habari Zaidi
Masomo Unayoweza Kujifunza Katika Biblia
lfb kur. 58-59
Waisraeli wakikusanya mana

Utangulizi wa Sehemu ya 5

Miezi miwili baada ya kuvuka Bahari Nyekundu, Waisraeli walifika kwenye Mlima Sinai. Wakiwa hapo, Yehova alifanya agano pamoja na Waisraeli ili wawe taifa lake la pekee. Aliwalinda na kuwaandalia kila kitu walichohitaji—aliwapa mana ili wale, mavazi yasiyochakaa, na mahali salama pa kuishi. Ikiwa wewe ni mzazi, msaidie mtoto wako aelewe kwa nini Yehova aliwapa Waisraeli Sheria, maskani, na ukuhani. Kazia umuhimu wa kutimiza mambo tunayoahidi, kuendelea kuwa wanyenyekevu, na sikuzote kudumisha ushikamanifu kwa Yehova.

MAMBO MAKUU

  • Unapomtolea Yehova ahadi, hakikisha kwamba unaitimiza

  • Kiburi, ubinafsi, na uasi huleta msiba

  • Yehova alikuwa na subira aliposhughulika na Waisraeli naye aliwatunza hata walipokosa kuwa waaminifu

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki