Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo na. 112
  • Yehova, Mungu wa Amani

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yehova, Mungu wa Amani
  • ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Habari Zinazolingana
  • Yehova, Mungu wa Amani
    Mwimbieni Yehova
  • Amani​—Unaweza Kuipataje?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2018
  • Jinsi Ambavyo Amani Yaweza Kupatikana Duniani
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1980
  • Amani ya Kweli—Kutoka Chanzo Gani?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1997
Pata Habari Zaidi
‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
sjj wimbo na. 112

WIMBO NA. 112

Yehova, Mungu wa Amani

Makala Iliyochapishwa

(Wafilipi 4:9)

  1. 1. Mungu wa upendo,

    Yehova Mungu wetu,

    Twakuomba roho yako,

    Tukuze sifa zako.

    Ulitununua,

    Kwa damu ya Mwanao.

    Twaomba utukubali

    Tupe amani Yako.

  2. 2. Roho yako wewe,

    Yatupa ufahamu.

    Twaongozwa na kulindwa

    Katika ulimwengu.

    Tunatazamia

    Mwisho wa matatizo.

    Tupe roho takatifu,

    Tuishi kwa amani.

  3. 3. Umewakusanya

    Wale uwapendao.

    Tumependelewa sana,

    Kukuabudu wewe.

    Utawala wako,

    Utaleta baraka.

    Kisha watumishi wako,

    Waishi kwa amani.

(Ona pia Zab. 4:8; Flp. 4:​6, 7; 1 The. 5:23.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki