Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo na. 114
  • “Iweni na Subira”

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • “Iweni na Subira”
  • ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Habari Zinazolingana
  • Ustahimilivu
    Mwimbieni Yehova
  • Iga Subira ya Yehova
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2006
  • Tunapaswa Kuwa Wenye Subira Katika Huduma
    Huduma Yetu ya Ufalme—2011
  • Jinsi ya Kusitawisha Subira
    Msaada kwa Ajili ya Familia
Pata Habari Zaidi
‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
sjj wimbo na. 114

WIMBO NA. 114

“Iweni na Subira”

Makala Iliyochapishwa

(Yakobo 5:8)

  1. 1. Yehova, Baba yetu,

    Anapenda jina lake.

    Ataka litakaswe,

    Lawama liondolewe.

    Kavumilia mengi,

    Tena muda mrefu;

    Ana subira nyingi,

    Hajachoka kamwe.

    Ataka watu wote

    Wapate kuokolewa.

    Aonyesha subira,

    Kwa faida yetu sote.

  2. 2. Nasi tunahitaji,

    Kuionyesha subira.

    Ghadhabu tuepuke.

    Tukae kwa utulivu.

    Tuzingatie mema,

    Wafanyayo wengine.

    Tutumaini mema,

    Japo matatizo.

    Na sifa za Kikristo,

    Tuonyeshe sikuzote.

    Na kwa kufanya hivyo,

    Tumuige Mungu wetu.

(Ona pia Kut. 34:14; Isa. 40:28; 1 Kor. 13:​4, 7; 1 Tim. 2:4.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki