SEHEMU YA TANO
“Nitakaa Kati ya Watu”—Ibada Safi ya Yehova Yarudishwa
WAZO KUU: Hekalu aliloona Ezekieli na mambo tunayojifunza kuhusu ibada safi
Yehova aliwapa nabii Ezekieli na mtume Yohana maono yanayofanana. Maono hayo yanatufundisha masomo muhimu yanayotusaidia kumwabudu Yehova kwa njia anayoikubali sasa na kutuonyesha jinsi maisha yatakavyokuwa katika Paradiso chini ya Ufalme wa Mungu.