Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • th somo la 20 uku. 23
  • Umalizio Wenye Matokeo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Umalizio Wenye Matokeo
  • Boresha Uwezo Wako wa Kusoma na Kufundisha
  • Habari Zinazolingana
  • Umalizio Mzuri
    Faidika na Elimu ya Shule ya Huduma ya Kitheokrasi
  • Kuonyesha Waziwazi Matumizi ya Andiko
    Boresha Uwezo Wako wa Kusoma na Kufundisha
  • Kujitahidi Kugusa Moyo
    Boresha Uwezo Wako wa Kusoma na Kufundisha
  • Kuonyesha Wasikilizaji Manufaa ya Habari Unayozungumzia
    Boresha Uwezo Wako wa Kusoma na Kufundisha
Pata Habari Zaidi
Boresha Uwezo Wako wa Kusoma na Kufundisha
th somo la 20 uku. 23

SOMO LA 20

Umalizio Wenye Matokeo

Andiko lililotajwa

Mhubiri 12:13, 14

MUHTASARI: Katika maneno yako ya kumalizia, wachochee wasikilizaji wakubali na kutumia mambo waliyojifunza.

JINSI YA KUFANYA HIVYO:

  • Husianisha umalizio na habari yote kwa ujumla. Taja tena au utumie maneno mengine kurudia mambo makuu na mada kuu ya habari yako.

  • Wachochee wasikilizaji. Waonyeshe wasikilizaji wanachohitaji kufanya, na uwape sababu za msingi za kufanya hivyo. Zungumza kwa njia inayoonyesha unasadiki jambo unalosema na kwamba ni muhimu.

  • Umalizio uwe rahisi na mfupi. Usianze kutaja mambo makuu mapya. Ukitumia maneno machache iwezekanavyo, wachochee kwa mara ya mwisho wachukue hatua.

    Dokezo linalofaa

    Usiharakishe umalizio, wala sauti yako isififie unapomalizia. Sentensi za mwisho zinapaswa kusemwa kwa njia inayoonyesha kwamba umefikia mwisho.

KATIKA HUDUMA

Unapomalizia mazungumzo, rudia jambo kuu ambalo ungependa msikilizaji akumbuke. Ikiwa mazungumzo yatakatizwa ghafla, malizia kwa amani. Hata ikiwa mwenye nyumba hakuheshimu, zungumza naye kwa njia ambayo itamfanya awe tayari kusikiliza wakati ujao.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki