Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w74 5/15 uku. 236
  • Wapangaji Watamanikao

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Wapangaji Watamanikao
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1974
  • Habari Zinazolingana
  • ‘Toa Ushahidi Kamili’—Kwa Kuhubiri Katika Nyumba za Ghorofa Zenye Wapangaji
    Huduma Yetu ya Ufalme—2008
  • “Mwisho” Ni Nini?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2011
  • Kutatua Matatizo ya Vijana
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1982
  • Kutangaza Habari Njema-Kwa Kuvuta kwa Maneno ya Usadikisho
    Huduma Yetu ya Ufalme—1989
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1974
w74 5/15 uku. 236

Wapangaji Watamanikao

✔ Novemba 24, 1971, mwanamke mmoja alipiga simu kwa afisi ya tawi ya Watch Tower Society katika Wiesbaden, Ujeremani, akisema kwamba alikuwa amenunua nyumba yenye vyumba vingi katika Berlin na alitaka kuipangisha kwa mashahidi wa Yehova. Alipoulizwa sababu gani alitaka mashahidi wa Yehova wawe wapangaji, alijibu kwamba rafiki yake katika Ujeremani wa kusini alikuwa akipangisha kwao na alikuwa amependekeza naye afanye vivyo hivyo. Vile vile alieleza namna ilivyokuwa vigumu kwake kupata wapangaji wenye kutegemewa. Kwa vile alivyokuwa amekwisha kuvutwa na mwenendo wa mashahidi wa Yehova, alisema hivi: “Mimi najua kwamba watu hawa ni wenye kumwogopa Mungu, wako tayari kusaidia, na ni wenye bidii, nami ningefurahi sana ikiwa mngenisaidia nitimize mpango wangu.”

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki