Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w77 5/1 uku. 198
  • “Kuwa Unapopaswa Kuwa”

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • “Kuwa Unapopaswa Kuwa”
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1977
  • Habari Zinazolingana
  • Programu ya Kusanyiko la Pekee la Mwaka wa 2010
    Huduma ya Ufalme—2009
  • ‘Chakula kwa Wakati Unaofaa’
    Huduma Yetu ya Ufalme—2010
  • Mpango Mpya wa Kupitia Programu za Makusanyiko
    Huduma Yetu ya Ufalme—2004
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1977
w77 5/1 uku. 198

“Kuwa Unapopaswa Kuwa”

ALASIRI ya Julai 15, 1976, Mashahidi wa Yehova walikuwa wamehudhuria kipindi cha pekee cha vijana katika “Utumishi Mtakatifu” Kusanyiko la Wilaya katika Oakland, California. Wakati huo huo kukawa na kisa cha ajabu sana kisichopata kuonekana na watu miaka mingi, cha kutorosha wanafunzi 26 pamoja na dereva wao, waliokuwa katika basi wakielekea kusikiliza hotuba za shule wakati wa likizo.

Wawili kati ya watoto wenye kuhudhuria kusanyiko lile wangalikuwa katika basi hiyo kama wasingaliomba ruhusa ya kutokuwa shuleni wakahudhurie kusanyiko. Baba ya wavulana hao alisema: “Nashukuru sana tulikuwa kusanyikoni. Kuwa unapopaswa kuwa kunafaa.”

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki