Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w79 1/15 uku. 24
  • Maswali Kutoka kwa Wasomaji

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Maswali Kutoka kwa Wasomaji
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1979
  • Habari Zinazolingana
  • Maswali Kutoka kwa Wasomaji
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1990
  • Adui wa Mwisho, Kifo, Aangamizwa
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
  • Wengine Wana Mamlaka Kuliko Sisi
    Jifunze Kutoka kwa Mwalimu Mkuu
  • Mungu Aliumba Mwanamume na Mwanamke wa Kwanza
    Masomo Unayoweza Kujifunza Katika Biblia
Pata Habari Zaidi
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1979
w79 1/15 uku. 24

Maswali Kutoka kwa Wasomaji

● Je! Yehova Mungu alisema na Adamu moja kwa moja au kupitia kwa Malaika?

Inaelekea kwamba huenda ikawa Mungu alisema na Adamu kupitia kwa Mwanawe, ambaye baadaye akawa Yesu. Biblia inafunua kwamba mara nyingi Mungu alipokuwa akisema na wanadamu alifanya hivyo kupitia kwa malaika, ambaye hata huenda ikasemwa juu yake kama kwamba ni Yehova. (Mwa. 16:​7-11; Amu. 2:​1-4; 6:​11-16; 13:​15-22; linganisha Kutoka 3:​2-4 na Matendo 7:​30, 35.) Maandiko Yasema waziwazi kwamba Mungu alimpa Musa torati kupitia kwa malaika.​—⁠Gal. 3:19; Ebr. 2:​2, 3. 

Mnenaji mkuu wa Mungu alikuwa Mwanawe pekee, aliyeitwa “Neno.” Mungu alimtumia mara nyingi apashane habari na wanadamu. (Yohana 1:1) Kupitia kwake Mungu aliviumba vitu vingine vyote. (Yohana 1:3: Kol. 1:16) Hivyo, huenda Neno akawa ndiye aliyeambiwa na Yehova: “Na tufanye mtu kwa mfano wetu.” Masimulizi juu ya kuumba yanaongeza kwamba Mungu “[aliwaambia Adamu na Hawa], Zaeni, mkaongezeke.” Kupatana na akili nzuri, Mungu aliwaambia Adamu na Hawa jambo hili na mengine mengi kupitia kwa “Neno” ambaye pia alishughulika na wanadamu.​—⁠Mwa. 1:​26-28; 2:16; 3:​8-13; Mit. 8:31.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki