Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w79 6/15 uku. 22
  • Kuwekelea Mikono Juu ya Mnyama Anayetolewa Dhabihu

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Kuwekelea Mikono Juu ya Mnyama Anayetolewa Dhabihu
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1979
  • Habari Zinazolingana
  • Azazeli
    Ufahamu wa Kina wa Maandiko
  • Maswali Kutoka kwa Wasomaji
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2008
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1979
w79 6/15 uku. 22

Kuwekelea Mikono Juu ya Mnyama Anayetolewa Dhabihu

Alipokuwa akimtoa mnyama dhabihu katika hekalu, Mwisraeli alikuwa akiwekelea mikono yake juu ya kichwa cha dume, kondoo au mbuzi. (Law. 1:4) Kitendo hicho kilionyesha kwamba mtu huyo alikuwa akikubali kwamba toleo hilo ni lake na kwamba lilikuwa likitolewa kwa ajili yake.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki