Haki kwa Wote Kupitia Hakimu Aliyewekwa na Mungu
Kwa muda mrefu serikali zimetafuta kufikiliza ‘Haki kwa Wote,’ kama walivyofanya Wagiriki wa kale ambao mahakimu wao walisikiliza kesi za maana sana za kisheria katika Areopagus hii, au Kilima Mars.’ Zaidi ya miaka 1,900 iliyopita, katika mahakama hiyo ya haki mwanamume mmoja alionyesha jinsi haki ya kweli kwa wote itapatikana. Maneno yake yatachunguzwa kwa umakini katika hotuba kuu ya “Haki ya Kimungu” Mikusanyiko ya Wilaya ya Mashahidi wa Yehova.
Unaweza kusikia hotuba hii katika mojapo ya mahali patakapofanyiwa mikusanyiko katika nchi yako. Pia programu ya mkusanyiko inaonyesha mazungumzo ya Biblia yenye msaada kwa mambo ya maisha yanayofaa, na drama mbili za Biblia zenye kufundisha.
Tembelea Jumba la Ufalme la Mashahidi wa Yehova la mahali pako ili upate kujua wakati na mahali pa mkusanyiko ulio karibu nawe, au uwaandikie watangazaji wa gazeti hili.