Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w15 9/1 uku. 16
  • Majibu ya Maswali ya Biblia

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Majibu ya Maswali ya Biblia
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2015
  • Vichwa vidogo
  • Habari Zinazolingana
  • Kwa nini kuna unabii katika Biblia?
  • Unabii wa Biblia unatusaidiaje?
  • Ufalme Umesimamishwa!
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2022
  • The Bible—Accurate History, Reliable Prophecy
    Huduma Yetu ya Ufalme—2010
  • Jifunze Kutokana na Unabii wa Biblia
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2023
  • Biblia—Kitabu cha Unabii Sahihi Sehemu ya 7
    Amkeni!—2012
Pata Habari Zaidi
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2015
w15 9/1 uku. 16

MAJIBU YA MASWALI YA BIBLIA

Kwa nini kuna unabii katika Biblia?

Katika Mlima wa Mizeituni, yesu anazungumza na baadhi ya mitume wake

Kwa nini Biblia inaeleza kuhusu matukio ya wakati wetu?—luka 21:10, 11.

Kuna unabii mwingi katika Biblia. Hakuna mwanadamu anayeweza kutabiri mambo hususa ya wakati ujao. Hivyo, kutimizwa kwa unabii mbalimbali wa Biblia kunathibitisha kwamba Biblia ni Neno la Mungu.—Soma Yoshua 23:14; 2 Petro 1:20, 21.

Unabii wa Biblia uliotimizwa unatupatia msingi imara wa kumwamini Mungu. (Waebrania 11:1) Pia, unatuhakikishia kwamba ahadi za Mungu za wakati ujao zitatimia. Hivyo, unabii wa Biblia unatupatia tumaini.—Soma Zaburi 37:29; Waroma 15:4.

Unabii wa Biblia unatusaidiaje?

Baadhi ya unabii wa Biblia unawahimiza watumishi wa Mungu wachukue hatua. Kwa mfano, Wakristo wa karne ya kwanza walipoona unabii fulani ukitimia, waliondoka Yerusalemu. Baadaye, jiji hilo lilipoharibiwa kwa sababu watu wengi walimkataa Yesu, Wakristo walikuwa katika eneo salama.—Soma Luka 21:20-22.

Leo, unabii mbalimbali uliotimizwa unatuonyesha kwamba hivi karibuni Ufalme wa Mungu utakomesha falme na serikali za wanadamu. (Danieli 2:44; Luka 21:31) Hivyo, ni muhimu kila mmoja afanye mambo yatakayomwezesha kupata kibali cha Mfalme aliyechaguliwa na Mungu, Yesu Kristo.—Soma Luka 21:34-36.

Kwa habari zaidi, soma sura ya 2 ya kitabu hiki kilichochapishwa na Mashahidi wa Yehova

Pia linapatikana kwenye  www.jw.org/sw

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki